Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipasua katikati ya mabeki wa Real Betis, Alex Alegria (kushoto) na Mcolombian Juan Narvaez usiku wa Jumapili katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Barcelona ilishinda 2-0 mabao ya Gerard Deulofeu aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Alin Tosca dakika ya 36 na Sergi Roberto dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nebraska star pitcher Jordy Frahm joins Cornhuskers coaching staff
following conclusion of her college playing career
-
Frahm was a four-time All-American with Oklahoma and Nebraska, winning two
Women's College World Series national championships with the Sooners.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment