Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipasua katikati ya mabeki wa Real Betis, Alex Alegria (kushoto) na Mcolombian Juan Narvaez usiku wa Jumapili katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Barcelona ilishinda 2-0 mabao ya Gerard Deulofeu aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Alin Tosca dakika ya 36 na Sergi Roberto dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LA Rams quarterback Matthew Stafford makes surprising decision on who he
wants to play for next year
-
At age 37, Stafford's 15-year playing career could be set to make another
move as his contract has a potential out this season which would allow him
to fin...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment