Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipasua katikati ya mabeki wa Real Betis, Alex Alegria (kushoto) na Mcolombian Juan Narvaez usiku wa Jumapili katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Barcelona ilishinda 2-0 mabao ya Gerard Deulofeu aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Alin Tosca dakika ya 36 na Sergi Roberto dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kentucky Derby Results 2024: Finishing Order, Replay Video and Payouts
-
It was a three-horse photo finish Saturday at Churchill Downs. Mystik Dan
claimed victory at the 2024 Kentucky Derby as Sierra Leone and Forever
Young…
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment