• HABARI MPYA

    Sunday, August 27, 2017

    MAYWEATHER 'ALIVYONOGA' KATIKA PATI LA USHINDI

    Floyd Mayweather akiwasili na gari yake ya Bugatti Grand Sport Convertible ya mwaka 2012 kwenye pati ya baada ya ushindi wa Technical Knockout (TKO) katika pambano lake dhidi ya bondia wa Ireland, Conor McGregor asubuhi ya leo ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAYWEATHER 'ALIVYONOGA' KATIKA PATI LA USHINDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top