Gylfi Sigurdsson akishangilia na Aaron Lennon baada ya kuifungia bao zuri la kusawazisha Everton dakika ya 46 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Hajduk Split Uwanja wa Poljud jana mjini Split nchini Croatia. Bao la Hajduk Split lilifungwa na Josip Radosevic dakika ya 43 na kwa matokeo hayo, Everton inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympic gold medal winner Stephanie Rice's first crack at a VERY normal
activity most Aussies have done several times in their life
-
She achieved world dominance in the pool, but not Aussie Olympian Stephanie
Rice has been dealt a heavy dose of reality
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment