Gylfi Sigurdsson akishangilia na Aaron Lennon baada ya kuifungia bao zuri la kusawazisha Everton dakika ya 46 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Hajduk Split Uwanja wa Poljud jana mjini Split nchini Croatia. Bao la Hajduk Split lilifungwa na Josip Radosevic dakika ya 43 na kwa matokeo hayo, Everton inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Bill Belichick Plans to Write Book on Unknown Topic After Patriots
Exit
-
Bill Belichick wasn't known for being a wizard with words in front of a
microphone, but he may have been storing it all up to get out in written
form now t...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment