Lucas Vazquez wa Real Madrid akivuta mpira dhidi ya wachezaji wa Valencia katika mchezo wa La Liga jana Uwanja Bernabeu timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 10 na 83, wakati ya Valencia yamefungwa na Carlos Salor dakika ya 18 na Geoffrey Kondogbia dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
INSIDE SPORT: Sunderland fans blast 'scandalous' £1,300 Wembley tickets...
plus, latest on Gary Lineker's BBC future and how Chelsea made Premier
League history
-
An FA-licensed ticket seller has been attempting to charge Sunderland
supporters more than twice the amount offered to Sheffield United fans for
the Champi...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment