Lucas Vazquez wa Real Madrid akivuta mpira dhidi ya wachezaji wa Valencia katika mchezo wa La Liga jana Uwanja Bernabeu timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 10 na 83, wakati ya Valencia yamefungwa na Carlos Salor dakika ya 18 na Geoffrey Kondogbia dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ebola fears surge on the ground in Congo over rapid spread of a rare type
-
BUNIA, Congo (AP) — Anxious healthcare workers in eastern Congo said
Wednesday they are underprotected and undertrained in a rapidly spreading
Ebola outbre...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment