Lucas Vazquez wa Real Madrid akivuta mpira dhidi ya wachezaji wa Valencia katika mchezo wa La Liga jana Uwanja Bernabeu timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 10 na 83, wakati ya Valencia yamefungwa na Carlos Salor dakika ya 18 na Geoffrey Kondogbia dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami (Ohio) finishes undefeated regular season with OT win over Ohio
-
The RedHawks are the first Division I team to post an undefeated regular
season since Gonzaga in 2020-21.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment