Bondia Mmarekani, Floyd Mayweather Jr. akimtandika ngumi ya kidevu Conor McGregor wa Ireland katika pambano la kuwania ubingwa wa WBC uzito wa Super Welter asubuhi hii ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani. Mayweather ameshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 10 na kuweka rekodi ya kupigana mapambano 50 bila kupoteza. Mayweather alianza kwa kumsoma mpinzani wake na kumuachia atawale raundi tatu za mwanzo, lakini baada ya hapo akaanza kumchapa mfululizo hadi mwisho kama yuko mazoezini anapiga begi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manny Ramirez's son Lucas homers TWICE against Team USA as Brazil puts
scare into heavy favorites at WBC
-
Team Brazil, whose players struggle to find organized leagues, gave Team
USA a scare in the World Baseball Classic, thanks to a leadoff home run
from a pla...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment