Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akitabasamu na jezi ya klabu yake mpya, Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka kwa wapinzani wa Ligi Kuu ya England, Arsenal. Nyota huyo wa England sasa atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 120,000 kwa wiki na kwa usajili huu Liverpool inaipa pigo lingine baada ya wiki iliyopita kuichapa 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gold Coast Titans coach Garth Brennan admits NRL coaching takes its toll after Paul Green death
-
Sacked Titans coach Garth Brennan has spoken out about the private pain he
felt post his 2019 dumping - saying Paul Green did it tough after two
consecutiv...
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni