Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akitabasamu na jezi ya klabu yake mpya, Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka kwa wapinzani wa Ligi Kuu ya England, Arsenal. Nyota huyo wa England sasa atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 120,000 kwa wiki na kwa usajili huu Liverpool inaipa pigo lingine baada ya wiki iliyopita kuichapa 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘I can’t wait to get started’ – Samuel Ashie Quaye after sealing FK
Babrungas move
-
Versatile Ghanaian player Samuel Abbey Ashie Quaye has shared his
excitement after sealing a move to Lithuanian club FK Babrungas.The
23-year-old left-back...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment