Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akitabasamu na jezi ya klabu yake mpya, Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka kwa wapinzani wa Ligi Kuu ya England, Arsenal. Nyota huyo wa England sasa atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 120,000 kwa wiki na kwa usajili huu Liverpool inaipa pigo lingine baada ya wiki iliyopita kuichapa 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Jim Harbaugh Gets Live Tattoo for Michigan Championship, 'Impervious
to Pain'
-
Before fully saying goodbye to Michigan, Jim Harbaugh returned to Ann Arbor
on Saturday for the ring ceremony to celebrate the Wolverines' national
title and…
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment