Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akitabasamu na jezi ya klabu yake mpya, Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 35 kutoka kwa wapinzani wa Ligi Kuu ya England, Arsenal. Nyota huyo wa England sasa atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 120,000 kwa wiki na kwa usajili huu Liverpool inaipa pigo lingine baada ya wiki iliyopita kuichapa 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Chandler out to prove he's not past-prime at UFC Freedom 250
-
Michael Chandler still feels he's in his prime, and he's out to prove that
against Mauricio Ruffy at UFC Freedom 250.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment