Beki wa Lipuli, Mghana Asante Kwasi akienda juu kupiga mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Kiungo Mzimbabwe wa Yanga, Thabani Kamusoko akiwachambua wachezaji wa Lipuli
Beki wa Yanga, Andrew Vincent 'Dante' akiwa juu kupiga mpira dhidi ya kipa wa Lipuli, Agathon Mkwando
Kiungo wa Lipuli, Paul Ngalema akiwatoka wachezaji wa Yanga jana
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akiambaa na mpira
Andrew Vincent 'Dante' akienda juu kupiga mpira kichwa
Refa Hans Mabena wa Tanga akimtoa kwa kadi nyekundu beki Mghana, Asante Kwasi baada ya kumuonyesha kadi ya pili ya njano
Mashabiki wa Yanga wakiwa hawana furana katika mchezo huo
Kikosi cha Lipuli kilichoizuia Yanga jana Uhuru
Kikosi cha Yanga kilicholazimishwa sare nyumbani jana
Xabi Alonso reveals he has held private talks with Estevao over lack of
game time - and amid reports in Brazil the forward is concerned about his
Blues future
-
KIERAN GILL: Alonso has held private talks with Estevao Willian amid
speculation that Chelsea's Brazilian boy wonder is concerned with his lack
of opportun...
41 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment