Waliokuwa wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, Ally Ng’anzi (kushoto), Yohana Oscar Nkomola (kulia) na Erick Nkosi (katikati) katika fainali za U-17 Afrika nchini Gabon Mei mwaka huu, wakiwa kwenye Uwanja wa mazoezi wa akademi ya Etoile du Sahel mjini Sousse nchini Tunisia ambako wanaendelea na majaribio kwa kujiunga na timu ya vijana ya klabu hiyo
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment