• HABARI MPYA

    Sunday, August 27, 2017

    KUTOKA SERENGETI BOYS HADI ETOILE DU SAHEL, MUNGU WASHIKIE VIJANA WETU

    Waliokuwa wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, Ally Ng’anzi (kushoto), Yohana Oscar Nkomola (kulia) na Erick Nkosi (katikati) katika fainali za U-17 Afrika nchini Gabon Mei mwaka huu, wakiwa kwenye Uwanja wa mazoezi wa akademi ya Etoile du Sahel mjini Sousse nchini Tunisia ambako wanaendelea na majaribio kwa kujiunga na timu ya vijana ya klabu hiyo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KUTOKA SERENGETI BOYS HADI ETOILE DU SAHEL, MUNGU WASHIKIE VIJANA WETU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top