Mfungaji wa mabao yote mawili ya Azam FC, Mghana Yahya Mohammed katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji URA katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jana Uwanja wa Phillip Omondi, Kampala, Uganda akiwatoka mabeki wa timu hiyo
Winga Mghana, Enock Atta Agyei akipiga shuti mbele ya wachezaji wa URA
Beki David Mwantika aliyekuwa Nahodha wa timu jana akiondoka na mpira
Kiungo Joseph Mahundi akiondoka na mpira jana
Kikosi cha Azam FC kilichoanza katika mechi ya jana
Cubs Reveal 'Blues Alternate' Uniforms in Video Ahead of 2025 MLB Season
-
The Chicago Cubs will be debuting a new look for the 2025 season. The Cubs
unveiled "Blues Alternate" uniforms in a video posted to X on Thursday. The
jers...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment