Mfungaji wa mabao yote mawili ya Azam FC, Mghana Yahya Mohammed katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji URA katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jana Uwanja wa Phillip Omondi, Kampala, Uganda akiwatoka mabeki wa timu hiyo
Winga Mghana, Enock Atta Agyei akipiga shuti mbele ya wachezaji wa URA
Beki David Mwantika aliyekuwa Nahodha wa timu jana akiondoka na mpira
Kiungo Joseph Mahundi akiondoka na mpira jana
Kikosi cha Azam FC kilichoanza katika mechi ya jana
Clattenburg leaves referee analyst role at Forest
-
Former Premier League referee Mark Clattenburg leaves his role with
Nottingham Forest, saying his position had "become more of a hindrance than
help" to th...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment