Nyota wa zamani wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara; Mkongo Mbuyu Twite (wa pili kulia walioinama) aliyewika Yanga, Muivory Coast Kipre Balou (wa pili kushoto walioinama) aliyewika Azam na Mtanzania, Danny Lyanga (wa kwanza kushoto waliosimama) aliyewika Simba wakiwa na kikosi cha Fanja ya Oman kabla ya moja ya mechi za Ligi Kuu ya Oman mwishoni mwa wiki
Wednesday, August 23, 2017
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



.png)
0 comments:
Post a Comment