Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote matatu dakika za 10, 73 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa Jumanne Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Hiyo inakuwa hat trick ya has 42 kwa Ronaldo Real Madrid na ya 47 kwa ujumla, wakati timu hizo zitarudiana Mei 10 Uwanja wa Vicente Calderon, Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley vs Manchester City - Premier League LIVE: Latest score and updates
as Erling Haaland opens the scoring just FIVE minutes into Turf Moor clash
as Pep Guardiola's side look to leapfrog Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Burnley host Manchester City at Turf Moor.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment