Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote matatu dakika za 10, 73 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa Jumanne Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Hiyo inakuwa hat trick ya has 42 kwa Ronaldo Real Madrid na ya 47 kwa ujumla, wakati timu hizo zitarudiana Mei 10 Uwanja wa Vicente Calderon, Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: How Chelsea flop has gone from being a target of boo boys to
playing a crucial part in their push for Europe... and a key change shows
why Pep Guardiola wanted him at Man City
-
Long after full-time, once Stamford Bridge had emptied to leave only the
cleaners in the stands, Paul Winstanley and Laurence Stewart emerged from
the tunn...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment