Jana ulikuwa ni usiku wa kukumbukwa kwa mchezaji wa zamani wa Arsenal, Serge Gnabry baada ya kufunga hat-trick katika ushindi wa 8-0 ugenini wa Ujerumani dhidi ya San Marino Uwanja wa Olimpico di Serravalle mjini Serravalle. Mabao mengine ya Ujerumani kwenye mchezo huo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia yalifungwa na Khedira, Hector mawili, Stefanelli na Volland PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luka Doncic feels like he's 'letting Kyrie Irving down' following Game 4
loss to Clippers, after Mavs' second option scored 40 points despite
116-111 defeat to Los Angeles
-
Luka Doncic feels as though he's 'letting [Kyrie Irving] down,' he said
after the Mavs fell 116-111 to the Clippers in Game 4 of the first round.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment