WAKUU WAPYA WA IDARA YA UFUNDI YANGA WALIVYOANZA KAZI PAMOJA LEO
Kocha mpya wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu, Mholanzi Hans van der Pluijm leo asubuhi wakati wa mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Lwandamina (wa pili kulia) akizungumza na Wasaidizin wake, Meneja Hafidh Saleh kulia, Kocha Msaidizi, Juma Mwambusi na Mtunza Vifaa, Mohammed Omar 'Mpogolo'
Lwandamina aliongoza mazoezi ya Yanga kwa mara ya kwanza leo baada ya kujiunga na timu kutoka Zesco ya kwao mapema mwezi huu
Wachezaji wa Yanga wameanza mazoezi leo baada ya mapumziko ya takriban wiki tatu kufuatia kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu
Sky überträgt | Sanchos Leipzig-Serie
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund bei Rasenballsport Leipzig an. Anstoß
ist um 15:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir
kompakt...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment