WAKUU WAPYA WA IDARA YA UFUNDI YANGA WALIVYOANZA KAZI PAMOJA LEO
Kocha mpya wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu, Mholanzi Hans van der Pluijm leo asubuhi wakati wa mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Lwandamina (wa pili kulia) akizungumza na Wasaidizin wake, Meneja Hafidh Saleh kulia, Kocha Msaidizi, Juma Mwambusi na Mtunza Vifaa, Mohammed Omar 'Mpogolo'
Lwandamina aliongoza mazoezi ya Yanga kwa mara ya kwanza leo baada ya kujiunga na timu kutoka Zesco ya kwao mapema mwezi huu
Wachezaji wa Yanga wameanza mazoezi leo baada ya mapumziko ya takriban wiki tatu kufuatia kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni