Mshambuliaji wa Manchestr United, Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 35 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Kundi A na kuweka rekodi ya mchezaji aliyewafungia mabao mengi kihistoria Mashetani Wekundu kwenye michuano ya Ulaya kwa kufikisha mabao 39. Mabao mengine ya United yalifungwa na Juan Mata dakika ya 69, Brad Jones aliyejifunga dakika ya 75 na Lingard dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Troops foil multiple abductions, rescue victims in Plateau, Kaduna
-
Joint Task Force troops have successfully foiled multiple abductions and
rescued several victims across vulnerable corridors in Plateau and Kaduna
states...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment