David Haye (kushoto) akimrushia ngumi mpinzani wake, Tony Bellew baada ya kushindwa kuvumilia 'maneno ya shombo' aliyokuwa anatupiwa wakati wa kutambulisha pambano lao lisilo la ubingwa uzito wa Heavy leo litakalofanyika Machi 4 mwakani ukumbi wa O2 Arena, London. Ngumi hiyo haikumpata Bellew na mara moja wawili hao walitenganishwa na kubaki kupigana kwa maneno hadi wanaondoka eneo la tukio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gasperini: “I know how to make Roma stronger. If I have technical
responsibilities, it is right that I be satisfied.”
-
Gian Piero Gasperini, in a press conference, commented on the 2-0 victory
against Bologna thanks to goals from Malen and El Ayanoui. The Grugliasco
coach c...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment