• HABARI MPYA

    Wednesday, November 30, 2016

    HAYE ATAKA KUZIPIGA KAVU KAVU NA BELLEW

    David Haye (kushoto) akimrushia ngumi mpinzani wake, Tony Bellew baada ya kushindwa kuvumilia 'maneno ya shombo' aliyokuwa anatupiwa wakati wa kutambulisha pambano lao lisilo la ubingwa uzito wa Heavy leo litakalofanyika Machi 4 mwakani ukumbi wa O2 Arena, London. Ngumi hiyo haikumpata Bellew na mara moja wawili hao walitenganishwa na kubaki kupigana kwa maneno hadi wanaondoka eneo la tukio PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAYE ATAKA KUZIPIGA KAVU KAVU NA BELLEW Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top