David Haye (kushoto) akimrushia ngumi mpinzani wake, Tony Bellew baada ya kushindwa kuvumilia 'maneno ya shombo' aliyokuwa anatupiwa wakati wa kutambulisha pambano lao lisilo la ubingwa uzito wa Heavy leo litakalofanyika Machi 4 mwakani ukumbi wa O2 Arena, London. Ngumi hiyo haikumpata Bellew na mara moja wawili hao walitenganishwa na kubaki kupigana kwa maneno hadi wanaondoka eneo la tukio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Rumors on Dom Mysterio Surgery, The Rock Ending PG Era, WrestleMania 41
in Vegas
-
Bleacher Report catches you up on the latest news from the WWE Universe.
Dominik Mysterio Reportedly Set for Elbow Surgery; Dom Responds After
showing up on…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment