David Haye (kushoto) akimrushia ngumi mpinzani wake, Tony Bellew baada ya kushindwa kuvumilia 'maneno ya shombo' aliyokuwa anatupiwa wakati wa kutambulisha pambano lao lisilo la ubingwa uzito wa Heavy leo litakalofanyika Machi 4 mwakani ukumbi wa O2 Arena, London. Ngumi hiyo haikumpata Bellew na mara moja wawili hao walitenganishwa na kubaki kupigana kwa maneno hadi wanaondoka eneo la tukio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Preakness 2022 Odds: Jockeys to Trust, Fastest Horses and More Picks
-
Epicenter came up just short in the Kentucky Derby, getting passed by 80-1
longshot Rich Strike near the end for a shocking conclusion to that race...
Dakika 12 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni