David Haye (kushoto) akimrushia ngumi mpinzani wake, Tony Bellew baada ya kushindwa kuvumilia 'maneno ya shombo' aliyokuwa anatupiwa wakati wa kutambulisha pambano lao lisilo la ubingwa uzito wa Heavy leo litakalofanyika Machi 4 mwakani ukumbi wa O2 Arena, London. Ngumi hiyo haikumpata Bellew na mara moja wawili hao walitenganishwa na kubaki kupigana kwa maneno hadi wanaondoka eneo la tukio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Should Ghana have been awarded a penalty against England?
-
England fans have been left frustrated by the goalless draw against Ghana,
but were Thomas Tuchel's side fortunate not to have given away a penalty?
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment