Wachezaji wa Monaco wakishangilia baada ya kuifunga Tottenham Hotspur mahal 2-1 katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana nchini Ufaransa. Mabao ya Monaco yalifungwa na Djibril Sidibe dakika ya 48 na Thomas Lemar dakota ya 53, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 52. Kwa matoneo haya Spurs inakuwa time ya kwanza ya England kutolewa Ligi ya Mabingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United pair Marcus Rashford and Jadon Sancho are almost certain to miss out on the England squad
-
Gareth Southgate is due to announce his squad ahead of the Three Lions
Nations League matches against Hungary, Germany and Italy next month. Both
Rashford ...
Dakika 32 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni