Ben Woodburn akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Leeds United kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England na kuweka rekodi ya mchezaji mdogo zaidi (miaka 17 na siku 45) kuwahi kuwafungia bao Wekundu hao. Bao la kwanza la Liverpool ambayo sasa inakwenda Nusu Fainali ya michuano hiyo, lilifungwa na Divock Origi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police arrest social media influencer for raising false security alarm in
Akwa Ibom
-
Akwa Ibom police arrested a social media influencer for raising a false
security alarm about a bandit invasion that sparked widespread panic among
reside...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment