Waziri kivuli wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi, Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini (CHADEMA) (kulia) akiwa na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule jana wakati wa uzinduzi wa Kombe la Profesa Jay uliohusisha mchezo kati ya Buffalo FC kutoka kijiji cha Doma dhidi ya timu ya Magomeni Stars kutoka kata ya Magomeni. Buffalo FC ilishinda 2-0. Mbilinyi maarufu kama Sugu na Haule anayefahamika pia kama Profesa Jay wote ni wasanii wa zamani wa Hip hop.
South Yorkshire Police confirm they are reviewing footage after viral video
emerges of a man bizarrely biting a young boy's ear at the World Snooker
Championship
-
Seven-time world champion Stephen Hendry was speaking during a break in
play in coverage of the afternoon session when the disturbing moment could
be seen ...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment