Waziri kivuli wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi, Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini (CHADEMA) (kulia) akiwa na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule jana wakati wa uzinduzi wa Kombe la Profesa Jay uliohusisha mchezo kati ya Buffalo FC kutoka kijiji cha Doma dhidi ya timu ya Magomeni Stars kutoka kata ya Magomeni. Buffalo FC ilishinda 2-0. Mbilinyi maarufu kama Sugu na Haule anayefahamika pia kama Profesa Jay wote ni wasanii wa zamani wa Hip hop.
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment