Wachezaji wa Poland wakimlalamikia refa baada ya nahodha wao, Robert Lewandowski kurushiwa moto na mashabiki wa wenyeji, Romania katika mchezo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi. Mchezo ulisimama kwa dakika 10 kutokana na tukio hilo na Lewandowski alipatiwa huduma ya kwanza kabla ya mchezo kuendelea na Poland kushinda 3-0, mabao ya Kamil Grosicki dakika ya 11 na Lewandowski mawili dakika ya 83 na 90 na ushei kwwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden opens up on his desire to become 'one of the best Premier League
players this season' in Mail Sport interview before being crowned FWA
Footballer of the Year
-
The England international has been one of the most eye-catching and
prolific players in the Premier League this season after smashing in 16
goals for Pep G...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment