Wachezaji wa Poland wakimlalamikia refa baada ya nahodha wao, Robert Lewandowski kurushiwa moto na mashabiki wa wenyeji, Romania katika mchezo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi. Mchezo ulisimama kwa dakika 10 kutokana na tukio hilo na Lewandowski alipatiwa huduma ya kwanza kabla ya mchezo kuendelea na Poland kushinda 3-0, mabao ya Kamil Grosicki dakika ya 11 na Lewandowski mawili dakika ya 83 na 90 na ushei kwwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Human rights: Our everyday essentials (1)
-
INTRODUCTION Human rights are the basic freedoms and protections that
belong to every person by virtue of their humanity. They are not favours to
be gran...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment