Wachezaji wa Poland wakimlalamikia refa baada ya nahodha wao, Robert Lewandowski kurushiwa moto na mashabiki wa wenyeji, Romania katika mchezo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi. Mchezo ulisimama kwa dakika 10 kutokana na tukio hilo na Lewandowski alipatiwa huduma ya kwanza kabla ya mchezo kuendelea na Poland kushinda 3-0, mabao ya Kamil Grosicki dakika ya 11 na Lewandowski mawili dakika ya 83 na 90 na ushei kwwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bizarre moment Chelsea TRAP referee Paul Tierney in pre-match huddle -
before Cole Palmer exchanges private words with him
-
Tierney looked utterly bewildered as the players leant in around him ahead
of their clash with Newcastle at Stamford Bridge on Saturday afternoon.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment