Muargentina Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao yote dakika za 24 na 55 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Celtic, Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Barca imesonga mbele pamoja na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Transfer: Arsenal eye stunning move for Real Madrid star Vinicius Jr
-
Arsenal are reportedly considering a move for Real Madrid winger Vinicius
Junior should the Brazilian fail to agree a new contract with the Spanish
giant...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment