SANCHEZ APIGA MBILI, ARSENAL YASHINDA 3-1 EMIRATES
Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez (kulia) akishangilia baada ya kuifungia The Gunners mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Sanchez amefunga dakika za 12 na 90 na ushei, wakati bao la pili lilifungwa na Theo Walcott (kushoto) dakika ya 53, huku la wageni likifungwa na Callum Wilson dakika yaPICHA ZAIDI GONGA HAPA
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni