Riyad Mahrez akijivuta kupiga penalti kumtungua kipa Ludovic Butelle wa Bruges dakika ya 30 katika ushindi wa 2-1 wa Leicester City kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya haiku wa jana. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Shinji Okazaki dakska ya tank, wakati la Bruges lilifungwa na Jose Heriberto Izquierdo Mena dakota ya 52 Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment