Riyad Mahrez akijivuta kupiga penalti kumtungua kipa Ludovic Butelle wa Bruges dakika ya 30 katika ushindi wa 2-1 wa Leicester City kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya haiku wa jana. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Shinji Okazaki dakska ya tank, wakati la Bruges lilifungwa na Jose Heriberto Izquierdo Mena dakota ya 52 Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We’ll produce our own candidates, no alliances, says NRM
-
From Okwe Obi, Abuja Ahead of the 2027 polls, the National Rescue Movement
(NRM) has ruled out plans to form alliances with the All Progressives
Congress...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment