• HABARI MPYA

    Wednesday, November 23, 2016

    LEICESTER CITY YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI ULAYA

    Riyad Mahrez akijivuta kupiga penalti kumtungua kipa Ludovic Butelle wa Bruges dakika ya 30 katika ushindi wa 2-1 wa Leicester City kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya haiku wa jana. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Shinji Okazaki dakska ya tank, wakati la Bruges lilifungwa na Jose Heriberto Izquierdo Mena dakota ya 52 Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEICESTER CITY YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top