Mshirikishi wa shindano la Miss Afrika, Julitha Kabete (wa tatu kulia), akiwa na wazazi wake na ndugu na jamaa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam baada ya kuwasili kutoka Nigeria alipokwenda kushiriki shindano la Miss Afrika na kufanikiwa kuingia tano bora Jumamosi.
Gasperini: “I know how to make Roma stronger. If I have technical
responsibilities, it is right that I be satisfied.”
-
Gian Piero Gasperini, in a press conference, commented on the 2-0 victory
against Bologna thanks to goals from Malen and El Ayanoui. The Grugliasco
coach c...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment