Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza kwa penalti Real Madrid dakika ya tano katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting Gijon leo Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga na la pili dakika ya 18 wakati la Gijon lilifungwa na Carlos Carmona dakika ya 35, huku Duje Cop akiikosesha bao la kusawazisha timu yake kwa kukosa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers' Gerard Gallant Calls Out Hurricanes' 'Bulls--t' at End of Game 3
-
The New York Rangers got on the board in their second-round playoff series
against the Carolina Hurricanes with a 3-1 victory in Sunday's Game 3, but
New Y...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni