Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza kwa penalti Real Madrid dakika ya tano katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting Gijon leo Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga na la pili dakika ya 18 wakati la Gijon lilifungwa na Carlos Carmona dakika ya 35, huku Duje Cop akiikosesha bao la kusawazisha timu yake kwa kukosa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I went back to search for girls who rejected me before fame – Don Jazzy
-
Ace music producer, Don Jazzy has revealed that after hitting fame he went
searching for girls who rejected him in secondary school. The Mavin Records
bo...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment