Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza kwa penalti Real Madrid dakika ya tano katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting Gijon leo Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga na la pili dakika ya 18 wakati la Gijon lilifungwa na Carlos Carmona dakika ya 35, huku Duje Cop akiikosesha bao la kusawazisha timu yake kwa kukosa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bahrain Grand Prix to be hosted in Malaysia in bizarre change to F1
calendar after Middle East chaos - with another extra race lined up
-
Daily Mail Sport understands the replacement venue will be announced,
probably as early as Sunday, to fill a gap left by war in the Middle East.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment