Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza akitokea benchi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sunderland leo Uwanja wa Anfield. Bao la pili lilifungwa na James Milner kwa penalti, baada ya Sadio Mane kuangushwa. Na kwa matokeo hayo Liverpool inarejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikifikisha pointi 30 sawa na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham winning jockey whose mum tried to find him a girlfriend on live
TV releases hilarious video dating profile - and lists 'riding horses' as
one of his hobbies!
-
Tom Bellamy, 31, rode 40/1 shot White Noise to victory in the Mares'
Novices' Hurdle on the third day of the festival, with the horse powering
through to c...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment