Olivier Giroud akienda hewani kupiga mpira kwa kichwa kuifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya 89 akimalizia krosi ya Alex Oxlade-Chamberlain, kufuatia Juan Mata kutangulia kuifungia Manchester United dakika ya 68 Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kocha wa United, Mreno Jose Mourinho alikasirika na kufoka baada ya refa Andre Marriner kutotoa penalti kutokana na Antonio Valencia kuangushwa kwenye boksi na Nacho Monreal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Malone: Nuggets Not Having Shoes for G4 Warmups Not Reason for Loss
to Lakers
-
Michael Malone was not ready to blame the Denver Nuggets shoe mishap for
his team's Game 4 loss to the Los Angeles Lakers. "Is it ideal? No," Malone
told…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment