Cristiano Ronaldo akimpongeza Marcelo kwa kuifungia Real Madrid bao la tatu katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Real Betis usiku huu Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Raphael Varane, Karim Benzema, Isco mawili na Ronaldo wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Cejudo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Padres' Updated Lineup, Payroll After Reported Luis Arráez Trade with
Marlins
-
Luis Arráez is reportedly heading to the San Diego Padres after the Miami
Marlins traded him for reliever Woo-Suk Go and prospects Dillon Head, Jakob
Marsee,…
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment