KWA mara ya pili mfululizo, kocha Mcameroon Joseph Marius Omog hajampanga mshambuliaji Mrundi, Laudit Mavugo.
Simba SC inawakaribisha Kagera Sugar ya Bukoba katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kama ilivyokuwa Jumatano kwenye mechi na Mbeya City, Mavugo na leo yupo benchi.
Laudit Mavugo ameanzishwa benchi na leo Simba ikimenyana na Kagera Sugar
Kikosi kinachoanza Simba leo ni; Vincent Angban, Janvier Bokungu, Mohammed Hussein 'Tshabalala', Juuko Murshid, Method Mwanjali, Jonas Mkude, Muzamil Yassin, Mwinyi Kazimoto, Frederic Blagnon, Ibrahim Hajibu na Shizza Kichuya.
Katike benchi wapo Peter Manyika, Abdi Banda, Jamal Mnyate, Mavugo, Novart Lufunga, Said Ndemla na Mohamed 'MO' Ibrahim.
Simba SC inawakaribisha Kagera Sugar ya Bukoba katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kama ilivyokuwa Jumatano kwenye mechi na Mbeya City, Mavugo na leo yupo benchi.
Laudit Mavugo ameanzishwa benchi na leo Simba ikimenyana na Kagera Sugar
Kikosi kinachoanza Simba leo ni; Vincent Angban, Janvier Bokungu, Mohammed Hussein 'Tshabalala', Juuko Murshid, Method Mwanjali, Jonas Mkude, Muzamil Yassin, Mwinyi Kazimoto, Frederic Blagnon, Ibrahim Hajibu na Shizza Kichuya.
Katike benchi wapo Peter Manyika, Abdi Banda, Jamal Mnyate, Mavugo, Novart Lufunga, Said Ndemla na Mohamed 'MO' Ibrahim.
0 comments:
Post a Comment