Nyota wa Ubelgiji, Eden Hazard akishangilia na mchezaji mwenzake, Victor Moses (kushoto) baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Leicester City Uwanja wa Stamford Bridge, London leo. Moses naye alifunga bao la tatu dakika ya 80, wakati bao la kwanza lilifungwa na Diego Costa dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What is a vibration plate? This nifty exercise gadget can help with weight
loss and improve strength — and it's 58% off on Amazon
-
More than 3,000 Amazon shoppers just bought this "game-changer" exercise
machine.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment