Nyota wa Ubelgiji, Eden Hazard akishangilia na mchezaji mwenzake, Victor Moses (kushoto) baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Leicester City Uwanja wa Stamford Bridge, London leo. Moses naye alifunga bao la tatu dakika ya 80, wakati bao la kwanza lilifungwa na Diego Costa dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mexico fans fail in bid to wake up England players
-
England players feel little to no impact of Mexico fans attempting to
disturb their sleep by letting off fireworks outside their hotel.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment