Nyota wa Ubelgiji, Eden Hazard akishangilia na mchezaji mwenzake, Victor Moses (kushoto) baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Leicester City Uwanja wa Stamford Bridge, London leo. Moses naye alifunga bao la tatu dakika ya 80, wakati bao la kwanza lilifungwa na Diego Costa dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump's former lawyer Joe Tacopina is 'leading bid to buy English
soccer club'
-
Donald Trump attorney Joe Tacopina has his eyes set on a historic English
club that dates back to 1884. And according to one report, Tacopina almost
has ap...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment