Nyota wa Ubelgiji, Eden Hazard akimiliki mpira mbele ya Perparim Hetemaj wa Finland katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Euro 2016 Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussel timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la Finland likifungwa na Kasper Hamalainen dakika ya 53, kabla ya Romelu Lukaku kusawazisha dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FG targets 40 million homes, N600bn with digital TV rollout
-
Nigeria launches Digital Switch Over programme targeting 40 million homes,
aiming to boost broadcasting, jobs and digital infrastructure growth.
The post...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment