Beki wa kati wa Juventus, Giorgio Chiellini (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Italia bao la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Hispania kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Bao la pili lilifungwa na Graziano Pelle dakika ya 90 na ushei na sasa Italia itamenyana na mabingwa wa dunia, Ujerumani katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I went back to search for girls who rejected me before fame – Don Jazzy
-
Ace music producer, Don Jazzy has revealed that after hitting fame he went
searching for girls who rejected him in secondary school. The Mavin Records
bo...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment