Beki wa kati wa Juventus, Giorgio Chiellini (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Italia bao la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Hispania kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Bao la pili lilifungwa na Graziano Pelle dakika ya 90 na ushei na sasa Italia itamenyana na mabingwa wa dunia, Ujerumani katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment