Beki wa kati wa Juventus, Giorgio Chiellini (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Italia bao la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Hispania kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Bao la pili lilifungwa na Graziano Pelle dakika ya 90 na ushei na sasa Italia itamenyana na mabingwa wa dunia, Ujerumani katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City: Jack Grealish banters team-mates and Miguel Almiron during league title parade
-
Jack Grealish had plenty to shout about on Monday as he celebrated winning
his first major trophy of his career - and he certainly did during
Manchester Ci...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni