Beki Jerome Boateng akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Slovakia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Euro 2016 usiku leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Mario Gomez na Julian Draxler wakati Mesut ozil alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We’ll produce our own candidates, no alliances, says NRM
-
From Okwe Obi, Abuja Ahead of the 2027 polls, the National Rescue Movement
(NRM) has ruled out plans to form alliances with the All Progressives
Congress...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment