Beki Jerome Boateng akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Slovakia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Euro 2016 usiku leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Mario Gomez na Julian Draxler wakati Mesut ozil alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Nazar scores OT power-play goal as Blackhawks beat Utah Mammoth 3-2
-
Frank Nazar scored a power-play goal with 2:24 left in overtime to give the
Chicago Blackhawks a 3-2 victory over the Utah Mammoth on Monday night.
Drew Co...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment