Beki Jerome Boateng akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Slovakia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Euro 2016 usiku leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Mario Gomez na Julian Draxler wakati Mesut ozil alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Semi-pro Ukrainian boxing champion dies on the frontline defending his country against Russia
-
Oleg Prudky, 30 - among a series of boxers who took up arms after Vladimir
Putin's decision to invade the country - was working alongside authorities
in th...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni