Beki Jerome Boateng akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Slovakia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Euro 2016 usiku leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Mario Gomez na Julian Draxler wakati Mesut ozil alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham want to hold talks with Julian Nagelsmann as uncertainty looms over Antonio Conte
-
Tottenham want to hold talks with Julian Nagelsmann as uncertainty reigns
over the future of current head coach Antonio Conte. Bayern Munich are
moving to ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment