Nahodha wa England, Wayne Rooney akijilaumu baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kufunga dhidi ya Slovakia katika mchezo wa Kundi B, Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa uliomalizika kwa sare ya 0-0. Kwa matokeo England inamaliza na pointi tano katika nafasi ya pili, nyuma ya Wales iliyomaliza na pointi sita na inaweza kukutana na Ureno katika hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chad Reuter 2024 NFL Draft Grades: Chiefs, Steelers, Seahawks Top Expert's
Rankings
-
The NFL draft is complete and with its conclusion, industry experts have
given their grades and analysis of how teams fared with their picks. After
the draft…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment