Nahodha wa England, Wayne Rooney akijilaumu baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kufunga dhidi ya Slovakia katika mchezo wa Kundi B, Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa uliomalizika kwa sare ya 0-0. Kwa matokeo England inamaliza na pointi tano katika nafasi ya pili, nyuma ya Wales iliyomaliza na pointi sita na inaweza kukutana na Ureno katika hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment