Mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski (kushoto) akijiweka sawa kwa ajili ya mpira mbele ya Jeffrey Bruma wa Uholanzi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa Uwanja wa Energa mjini Gdansk. Uholanzi ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Vincent Janssen na Georginio Wijnaldum, wakati la wenyeji, Poland lilifungwa na Artur Jedrzejczyk PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chile's Boric admits 'errors' in final address as president
-
STORY: :: Santiago, Chile / March 10, 2026
:: Chilean outgoing president Gabriel Boric admits to 'errors' during his
term in his final national address
...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment