Nyota wa Wales, Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi kwenye mchezo wa Kundi B Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Manispaa mjini Toulouse, Ufaransa. Mabao mengine ya Wales yamefungwa na Aaron Ramsey na Neil Taylor na sasa wanakwenda hatua ya 16 Bora kama vinara wa kundi hilo kwa pointi zao sita, moja zaidi ya England waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal star Ben White caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper
Guglielmo Vicario just seconds before the Gunners go ahead in the north
London derby
-
Ben White has been caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper Guglielmo
Vicario from the corner that put Arsenal ahead in the north London derby.
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment