Wachezaji wa Chile wakishangilia ushindi wao wa 2-0 dhidi ya Colombia katika Nusu Fainali ya michuano ya Copa America Alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago, Illinois, Marekani kwa mabao ya Charles Aranguiz na Jose Pedro Fuenzalida. Chile ambao ndiyo mabingwa watetezi, sasa watamenyana na Argentina katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Diontae Johnson Didn't Realize Dave Canales Was Panthers' HC When They
First Met
-
After being acquired by the Carolina Panthers in a trade with the
Pittsburgh Steelers earlier this offseason, wide receiver Diontae Johnson
is still getting…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment