Xherdan Shaqiri akibinuka tik tak kuisawazishia Uswisi katika sare ya 1-1 na Polanda kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa. Bao la kutangulia la Poland iliyoshinda kwa penalti 5-4 baadaye, limefungwa na Jakub Blaszczykowski. Poland sasa itacheza na mshindi kati ya Croatia na Ureno katika Robo Fainali Alhamisi Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elements Casino Surrey sold to Semiahmoo First Nation
-
The Semiahmoo First Nation has announced it will acquire Elements Casino
Surrey from operator Great Canadian Entertainment, pending regulatory
approval. It...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment