Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili dakika za 57 na 61 Ufaransa ikishinda 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 jioni ya leo Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Ireland ilitangulia kwa bao la Robbie Brady dakika ya pili tu ya mchezo na Ufaransa inakwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment