Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili dakika za 57 na 61 Ufaransa ikishinda 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 jioni ya leo Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Ireland ilitangulia kwa bao la Robbie Brady dakika ya pili tu ya mchezo na Ufaransa inakwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What happened to Eels NRL star Dylan Brown and how does the NRL 'no-fault stand down policy work?
-
Parramatta Eels star Dylan Brown won't play again for some time after he
was sidelined by CEO Andrew Abdo as part of the NRL's 'no-fault' stand-down
policy...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment