Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili dakika za 57 na 61 Ufaransa ikishinda 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 jioni ya leo Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais mjini Decines-Charpieu. Ireland ilitangulia kwa bao la Robbie Brady dakika ya pili tu ya mchezo na Ufaransa inakwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Awkward moment footy star is spotted making X-rated comment during poignant
Anzac Day ceremony ahead of Collingwood vs Essendon
-
During the Australian national anthem, he was seen turning to fellow Pies
star Steele Sidebottom and appeared to say 'I f***ing s*** myself',
referrinbg to...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment