SERENGETI BOYS NA SHELISHELI KATIKA PICHA JANA TAIFA
Beki wa Shelisheli, Mathiew Bassot (kushoto) akiutelezea mpira miguuni mwa beki wa Tanzania, Nickson Clement Kibabage katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza kuwania tiketi ya Fainali za Vijana Afrika mwakani nchini Madagascar. Tanzania, maarufu kama Serengeti Boys ilishinda 3-0
Mathiew Bassot akiutelezea mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Tanzania, Rashid Mohamed Chambo (kulia)
Kiungo wa Tanzania, Kelvin Nashon Naftali akiwachambua wachezajia wa Shesheli
Beki wa Serengeti Boys, Israel Patrcik Mwenda akimtoka mchezaji wa Shelisheli
Kiungo wa Tanzania, Asad Ali Juma akiwatoka wachezaji wa Shesheli
Mshambuliaji wa Tanzania, Ibrahim Abdallah Ali akimtoka beki wa Shelisheli Brandon Tancustte
Nickson Clement Kibabage wa Tanzania (kulia) akimtoka Darren Dolley wa Shelisheli (kushoto)
Nickson Clement Kibabage wa Tanzania (kulia) akimtoka Darren Dolley wa Shelisheli (kushoto)
Kikosi cha Shelisheli kilichoanza dhidi ya Tanzania jana
Kikosi cha Tanzania kilichoanza dhidi ya Shelisheli jana
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni