Mchezaji wa Croatia, Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika za lala salama ikiilaza 2-1 Hispania katika mchezo wa Kundi D Euro 2016 Uwanja wa Matmut-Atlantique mjini Bordeaux, Ufaransa. Hispania ilitangulia kwa bao la Alvaro Morata, kabla ya Nikola Kalinic kuisawazishia Croatia. Kwa matokeo hayo, Croatia inamaliza kileleni mwa kundi hilo kwa pointi zake saba, ikifuatiwa na Hispania iliyomaliza na pointi sita ambayo sasa inaweza kukutana na Italia katika hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mo Salah's outburst at Jurgen Klopp will set alarm bells ringing with
Liverpool's owners and incoming boss Arne Slot... the Reds star must
apologise to avoid the conclusion the end is near amid Saudi interest
-
No stars did stop for a chat about incoming boss Arne Slot, clearly under
instruction, but less than 10 words from Salah made bigger waves worldwide
than a...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment