Kipa wa Chile, Claudio Bravo akiinua Kombe la Copa America Centenario baada ya kulitwaa usiku wa kuamkia leo kwa kuifunga Argentina kwa penalti 4-2 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 120 Uwanja wa MetLife, East Rutherford mjini New Jersey, Marekani. Mwanasoka bora wa dunia, Lionel Messi alikosa penalti ya kwanza ya Argentina sawa na Lucas Biglia aliyekosa ya nne. Waliofunga penalti za Argentina ni Javier Mascherano na Sergio Aguero wakati za Chile zilifungwa na N. Castillo, C. Aránguiz, J. BeausejourF. Silva huku A. Vidal akikosa ya kwanza tena PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Broncos Rumors: Russell Wilson Had Surgery for Knee Injury; Will Be Ready for Season
-
Denver Broncos quarterback Russell Wilson is expected to be ready for
organized team activities and at full strength for the regular season after
having knee…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment