Nyota wa Argentina, Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 4-1 Alfajiri ya leo dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali wa michuano ya Copa America Uwanja wa Gillette Stadium mjini Foxborough, Massachusetts, Marekani. Mabao mengine ya Argentina yalifungwa na Gonzalo Higuain mawili na Erik Lamela, wakati la kufutia machozi la Venezuela lilifungwa na Salomon Rondon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why I kept my daughter’s birth secret — Adunni Ade
-
Nigerian-American actress and model, Adunni Ade, has revealed why she kept
the birth of her daughter away from the public eye for more than two years.
Th...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment