Nyota wa Argentina, Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 4-1 Alfajiri ya leo dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali wa michuano ya Copa America Uwanja wa Gillette Stadium mjini Foxborough, Massachusetts, Marekani. Mabao mengine ya Argentina yalifungwa na Gonzalo Higuain mawili na Erik Lamela, wakati la kufutia machozi la Venezuela lilifungwa na Salomon Rondon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Billy Vunipola was TEETOTAL for almost two years - but fell off
the wagon spectacularly in Majorca with drunken arrest after police
'Tasered him when he downed four Amarettos'
-
For the last 20 months, the younger of Saracens' two Vunipola brothers had
banished the booze as he strove to re-establish career momentum.
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment