Mshambuliaji wa Ubelgiji, Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Manisipaa mjini Toulouse, Ufaransa. Mabao mengine ya Ubelgiji yamefungwa na Toby Alderweireld, Michy Batshuayi naYannick Carrasco na Ubelgiji inakwenda Robo Fainali ambako itakutana na Wales PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Declan Rice is targeted with vile chants about his girlfriend by Chelsea
fans during Arsenal clash - hours after she deleted her Instagram posts
following abuse from body-shaming trolls
-
Rice's long-term partner, Lauren Fryer (right) has deleted all of her
Instagram pictures after receiving a barrage of abuse online, which has
also taken pl...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment