Wachezaji wa Tukuyu Stars ya Mbeya kutoka kushoto, Mohamed Kassanda, Raphael Mapunda na Kanza Mrisho wakiwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwaka 1987 kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara. Tukuyu ilikuwa bingwa mwaka 1986 na baada ya msimu nyota wake wakachukuliwa na Yanga na Simba nayo ikashuka daraja mwaka 1987
Richarlison says Everton pitch invasion was something he had 'never witnessed' in his career
-
Everton star Richarlison had admitted that he's never seen anything like
the pitch invasion which followed their stunning comeback victory against
Crystal ...
Dakika 43 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni