Wachezaji wa Tukuyu Stars ya Mbeya kutoka kushoto, Mohamed Kassanda, Raphael Mapunda na Kanza Mrisho wakiwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwaka 1987 kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara. Tukuyu ilikuwa bingwa mwaka 1986 na baada ya msimu nyota wake wakachukuliwa na Yanga na Simba nayo ikashuka daraja mwaka 1987
Elements Casino Surrey sold to Semiahmoo First Nation
-
The Semiahmoo First Nation has announced it will acquire Elements Casino
Surrey from operator Great Canadian Entertainment, pending regulatory
approval. It...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment