• HABARI MPYA

    Wednesday, June 29, 2016

    TUKUYU STARS LILIKUWA BONGE LA TIMU ENZI ZAKE LIGI KUU

    Wachezaji wa Tukuyu Stars ya Mbeya kutoka kushoto, Mohamed Kassanda, Raphael Mapunda na Kanza Mrisho wakiwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwaka 1987 kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara. Tukuyu ilikuwa bingwa mwaka 1986 na baada ya msimu nyota wake wakachukuliwa na Yanga na Simba nayo ikashuka daraja mwaka 1987
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TUKUYU STARS LILIKUWA BONGE LA TIMU ENZI ZAKE LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top