Wachezaji wa Tukuyu Stars ya Mbeya kutoka kushoto, Mohamed Kassanda, Raphael Mapunda na Kanza Mrisho wakiwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwaka 1987 kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara. Tukuyu ilikuwa bingwa mwaka 1986 na baada ya msimu nyota wake wakachukuliwa na Yanga na Simba nayo ikashuka daraja mwaka 1987
Cowboys' Dak Prescott: 'I'm Not Trying to Be' NFL's Highest-Paid QB on Next
Contract
-
Dallas Cowboys quarterback Dak Prescott revealed to reporters that he and
owner Jerry Jones have not yet begun contract extension talks. However, he
spoke…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment