Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga bao dakika ya 81 ambalo linakuwa la 54 msimu huu katika mchezo wa La Liga dhidi ya Real Betis Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Barca imeshinda 2-0, bao lingine akifunga Ivan Rakitic ambalo lilikuwa la kwanza dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sadio Mane MISSES a penalty for Al-Nassr with regular taker Cristiano
Ronaldo suspended... but the former Liverpool star recovers to net a brace
in the 3-1 win over Al Feiha
-
With a fightback win, and qualification for next season's AFC Champions
League secured, Ronaldo shared his congratulations to his teammates in a
post on so...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment