Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga bao dakika ya 81 ambalo linakuwa la 54 msimu huu katika mchezo wa La Liga dhidi ya Real Betis Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Barca imeshinda 2-0, bao lingine akifunga Ivan Rakitic ambalo lilikuwa la kwanza dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The incredible comeback of footy player who lost his eye and part of his
skull in horrific on-field incident
-
Suburban AFL player Michael Pisker won't forget the July 2024 clash
against University Blues anytime soon - and with good reason.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment