• HABARI MPYA

    Wednesday, November 12, 2014

    RONALDO AKANA KUMUITA MESSI 'MAZAFANTA' NA ASEMA 'ATAFUNGA MTU'

    MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo amekanusha madai kwamba amempa jina la utani ambalo ni tusi Lionel Messi analamuita 'nyuma ya pazia'.
    Mshambuliaji huyo wa Real Madrid ametuhumiwa na kumuita kwa nina ambalo ni tusk mpinzani wake huyo wa Barcelona kwenye kitabu cha Guillem Balague, MESSI, lakini Ronaldo amesistiza si kweli.
    "Habari zinazosema hivyo ni uzushi na nato a utetezi wanfu juu ya Lionel Messi,"ameandika mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 katika ukurasa wake wa Facebook
    Real Madrid star Cristiano Ronaldo has denied that his nickname for Barcelona's Lionel Messi behind closed doors is 'motherf******'
    Nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amekanusha kumuita mpinzani wake wa Barcelona, Lionel Messi kwa nina la 'motherf******' nyuma ya pazia 

     Nina heshima kubwa kwa wachezaji wenzangu wote, na Messi dhahiri ni hakuna tofauti
    "Huu ni bongo kabisa na nimemuhakikishia mwanasheria wangu achukue hatua kwa wahusika. 
    "Nina heshima kubwa kwa wachezaji wenzangu wote, na Messi dhahiri ni hakuna tofauti,".
    Kitabu cha Balague kinazungumzia uhusiano baina ya wawili hao, kikisema si marafiki, lakini wanazuga tu mbele ya jamii kwa maslahi ya vyombo vya habari.
    Mwandishi wa habari za soka wa Hispania amesema wachezaji kadhaa Bernabeu wamempa taarifa kwamba, Ronaldo silo tu humuita Messi kwa jina la 'motherf*****' lakini pia yeyote ambaye yuko karibu na mpinzani wake huyo wa Ballon d'Or.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AKANA KUMUITA MESSI 'MAZAFANTA' NA ASEMA 'ATAFUNGA MTU' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top