MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Mrisho Khalfan Ngassa ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Tanzania kuwa mfungaji bora wa michuano ya Afrika, baada ya kumaliza na mabao sita katika Ligi ya Mabingwa Afrka, ingawa timu yake haikufika hatua ya makundi.
Ngassa amefungana na Haythem Jouini wa Esperance ya Tunisia, Firmin Ndombe Mubele wa AS Vita ra DRC iliyofika fainali na El Hedi Belameiri wa Es Setif iliyoibuka bingwa kwa kufunga mabao sita kila mmoja.
Ngassa aliifungia Yanga SC mabao yote hayo katika hatua ya awali dhidi ya Komorozine ya Comoro kabla ya kutolewa na Ahly ya Misri katika hatua iliyofuata. Ahly nayo ilitolewa pia na kuangukia kwenye Kombe la Shiriksho, ambako imefika Fainali.
Ngassa amefungana na Haythem Jouini wa Esperance ya Tunisia, Firmin Ndombe Mubele wa AS Vita ra DRC iliyofika fainali na El Hedi Belameiri wa Es Setif iliyoibuka bingwa kwa kufunga mabao sita kila mmoja.
Ngassa aliifungia Yanga SC mabao yote hayo katika hatua ya awali dhidi ya Komorozine ya Comoro kabla ya kutolewa na Ahly ya Misri katika hatua iliyofuata. Ahly nayo ilitolewa pia na kuangukia kwenye Kombe la Shiriksho, ambako imefika Fainali.
![]() |
Hongera; Mrisho Ngassa amefungana na wachezaji wengine watatu katika ufungaji bora Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu ORODHA YA WAFUNGAJI BORA LIGI YA MABINGWA AFRIKA TANGU 2004 |
0 comments:
Post a Comment