Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga wakicheza muziki katika eneo la Buguruni Sokoni jijini Dar es Salaam leo wakati wa shamrashamra za kuitambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 kwa mashabiki wa timu mbili hizo mjini Dar es salaam. Kampeni hiyo inayoendeshwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Mashabiki wa Timu ya Yanga na Simba wakishindana kupuliza Vuvuzela wakati walipokuwa wakizunguka katika maeneo ya jiji la Dar es Salaam leo kuitambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 kwa mashabiki wa timu mbili hizo inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager
Magari ya matangazo, yakiwa katika maeneo ya Vingunguti jijini Dar es Salaam leo kuitambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 kwa mashabiki. Kampeni hiyo inaendeshwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Wakishindana kupuliza Vuvuzela Vingunguti Dar es Salaam leo
Mashabiki wa Timu ya Yanga na Simba wakishindana kupuliza Vuvuzela wakati walipokuwa wakizunguka katika maeneo ya jiji la Dar es Salaam leo kuitambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 kwa mashabiki wa timu mbili hizo inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager
Magari ya matangazo, yakiwa katika maeneo ya Vingunguti jijini Dar es Salaam leo kuitambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 kwa mashabiki. Kampeni hiyo inaendeshwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Wakishindana kupuliza Vuvuzela Vingunguti Dar es Salaam leo
Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga wakishindana kuvuta kamba wakati wa kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager katika eneo la Vingunguti jijini Dar es Salaam |
0 comments:
Post a Comment