• HABARI MPYA

    Sunday, October 12, 2014

    JOSHUA AENDELEZA UBABE ULINGONI, AMSIMAMISHA MBABE AMBAYE HAJAKALISHWA MUONGO MZIMA NA KUTWAA TAJI LA WBC

    BONDIA Anthony Joshua amemmaliza mpinzani wake Denis Bakhtov katika Raundi ya pili mjini London na kutwaa taji la kimataifa la WBC uzito wa juu.
    Mbabe huyo wa Watford ambaye anafananishwa na bingwa wa zamani wa dunia asiyepingika, Lennox Lewis wa Uingereza pia, sasa amefikisha mapambano tisa akishinda yote
    Bakhtov hajawahi kusimamishwa kwa muongo  mzima na amepigana Raundi 250 zaidi ya Joshua, ambaye ana miaka sita tangu aanze ndondi.
    Refa akisimamisha pambano raundi ya pili kumpa ushindi Joshua
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JOSHUA AENDELEZA UBABE ULINGONI, AMSIMAMISHA MBABE AMBAYE HAJAKALISHWA MUONGO MZIMA NA KUTWAA TAJI LA WBC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top