• HABARI MPYA

    Sunday, October 12, 2014

    JOMO SONO AWAPA SIMBA SC MBINU ZA 'KUITEKETEZA' YANGA SC OKTOBA 18

    Mmiliki wa klabu maarufu Afrika Kusini, Jomo Cossmos, Jomo Sono kulia akizungumza na viongozi wa Simba SC mjini Johannesburg leo wakati walipomtembelea ofisini kwake. Simba SC imeweka kambi ya kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao, Yanga SC Oktoba 18, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
    Jomo Sono alipiga picha ya ukumbusho na kocha wa Simba SC, Patrick Phiri kushoto
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JOMO SONO AWAPA SIMBA SC MBINU ZA 'KUITEKETEZA' YANGA SC OKTOBA 18 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top